1923
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| ►
◄◄ |◄ |1919 |1920 |1921 |1922 |1923| 1924| 1925| 1926| 1927| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1923 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 1 Septemba - Tetemeko la ardhi katika mji wa Kanto, Ujapani linaua watu 140,000.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 16 Januari - Anthony Hecht, mshairi kutoka Marekani
- 24 Januari - Santha Rama Rau, mwandishi kutoka Uhindi
- 25 Januari - Arvid Carlsson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2000
- 31 Januari - Norman Mailer, mwandishi kutoka Marekani
- 4 Februari - Conrad Bain, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 12 Februari - Alan Dugan, mshairi kutoka Marekani
- 5 Machi - Mario Brega, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
- 9 Machi - Walter Kohn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1998
- 10 Machi - Val Fitch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1980
- 27 Machi - Louis Simpson, mshairi kutoka Marekani
- 2 Julai - Wislawa Szymborska, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1996
- 21 Julai - Rudolph Marcus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1992
- 22 Julai - Bob Dole, mwanasiasa kutoka Marekani
- 15 Agosti - Rose Marie, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Septemba - Carleton Gajdusek, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1976
- 8 Novemba - Jack Kilby, mhandisi umeme kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2000
- 9 Novemba - James Schuyler, mshairi kutoka Marekani
- 20 Novemba - Nadine Gordimer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1991
- 13 Desemba - Philip Anderson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977
Waliofariki
- 10 Februari - Wilhelm Conrad Röntgen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1901
- 8 Machi - Johannes Diderik van der Waals, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1910
- 26 Machi - Sarah Bernhardt, mwigizaji tamthilia kutoka Ufaransa
- 2 Agosti - Warren G. Harding, Rais wa Marekani (1921-23)
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz