Gaudensi wa Ossero
Gaudensi wa Ossero, O.S.B.Cam. (kwa Kilatini: Gaudentius Auxerensis; kwa Kiitalia: Gaudenzio di Ossero) alikuwa askofu wa Ossero, katika kisiwa cha Lošinj (leo nchini Croatia) tangu mwaka 1030, huku akipingwa na kusingiziwa hadi 1042, alipojiuzulu na kujiunga na Wabenedikto Wakamaldoli chini ya Peter Damian.
Alifariki Ancona tarehe 31 Mei 1044.
Tangu kale huheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz