Jimi Hendrix


Jimi Hendrix, amezaliwa kama James Marshall Hendrix (mnamo 27 Novemba 1942 - 18 Septemba 1970) alikuwa mpiga gitaa maarufu kutoka nchini Marekani. Hendrix hufikiriwa kama mwanamuziki wa kuigwa katika historia ya muziki wa rock and roll. Baada ya mafanikio yake nchini Uingereza, akaja kuwa almaarufu dunia nzima baada ya kutumbuiza katika sikukuu za muziki wa pop za Monterey kunako mwaka wa 1967.

Jimi Hendrix

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwaJames Marshall Hendrix
Amezaliwa27 Novemba 1942 (1942-11-27) (umri 81)
Seattle, Marekani
Aina ya muzikiHip hop
Kazi yakeRapa, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi
AlaSauti
Miaka ya kazi1963-1970
Tovutijimihendrix.com

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimi Hendrix kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.