Kibakumpai
Kibakumpai ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wabakumpai kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kibakumpai imehesabiwa kuwa watu 100,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibakumpai iko katika kundi la Kibarito. Kibakumpai hutumiwa kama lugha ya soko katikati ya kisiwa.
Viungo vya nje
- lugha ya Kibakumpai kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kibakumpai Archived 3 Oktoba 2015 at the Wayback Machine.
- lugha ya Kibakumpai katika Glottolog
- lugha ya Kibakumpai kwenye Ethnologue
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kibakumpai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia