Lea wa Roma
Lea wa Roma (alifariki Ostia, Roma, Italia, 384 hivi[1]) alikuwa mwanamke Mkristo wa mmojawapo kati ya koo maarufu zaidi za mji huo.
Baada ya kufiwa mumewe alijitosa katika mambo ya dini na kuishi kitawa pamoja na Marsela wa Roma na wanawake wengine kadhaa kwa kuzingatia sala, malipizi na matendo ya huruma. Marsela alimkabidhi kazi ya kulea wasichana[2][3][4].
Jeromu aliandika sifa zake[5].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Monks of Ramsgate.ea Book of Saints, 1921.. CatholicSaints.Info. 4 November 2014. Web. 12 January 2018.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz