Luiji Maria Palazzolo
Luigi Maria Palazzolo (Bergamo, Lombardia, 10 Desemba 1827 – Sanremo, Liguria, 15 Juni 1886) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Italia Kaskazini.
Alianzisha mashirika ya kitawa ya Masista Fukara Wadogo na Mabradha wa Familia Takatifu yamsaidie kukabili matatizo ya vijana na watoto wa mitaani[1].
Alitangazwa na Papa Yohane XIII kuwa mwenye heri tarehe 19 Machi 1963, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Mei 2022.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz