1963
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| ►
◄◄ |◄ |1959 |1960 |1961 |1962 |1963| 1964| 1965| 1966| 1967| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1963 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 25 Mei - Umoja wa Muungano wa Afrika (kwa Kiingereza: Organisation of African Union - OAU) unaundwa mjini Addis Abeba, Ethiopia
- 12 Desemba - Nchi ya Kenya inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 4 Januari - May-Britt Moser, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2014
- 17 Februari - Larry Whitney, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 27 Machi
- Quentin Tarantino
- Xuxa
- 24 Mei - Michael Chabon, mwandishi kutoka Marekani
- 9 Juni - Johnny Depp, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 27 Julai - Donnie Yen, mwigizaji filamu kutoka Uchina
- 1 Agosti - Coolio, mwanamuziki kutoka Marekani
- 9 Agosti - Whitney Houston, mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 25 Septemba - Tate Donovan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 25 Septemba - Keely Shaye Smith, mwandishi wa habari kutoka Marekani, na mke wa Pierce Brosnan
- 11 Desemba - Mario Been, kocha wa mpira wa miguu kutoka Uholanzi
- 13 Desemba - Yono Stanley Jilaoneka Kevela, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Desemba - Donna Tartt, mwandishi kutoka Marekani
bila tarehe
- Khadija Kopa, mwanamuziki kutoka Zanzibar
Waliofariki
- 29 Januari - Robert Frost, mshairi kutoka Marekani
- 4 Februari - Fred Albert Shannon, mwanahistoria kutoka Marekani
- 11 Februari - Sylvia Plath, mshairi wa Marekani
- 4 Machi - William Carlos Williams, mwandishi wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1963
- 2 Mei - Van Wyck Brooks, mwanahistoria kutoka Marekani
- 1 Agosti – Theodore Roethke, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1954
- 2 Agosti - Oliver La Farge, mwandishi kutoka Marekani
- 11 Oktoba - Édith Piaf, mwimbaji wa kike kutoka Ufaransa
- 22 Novemba - John F. Kennedy, Rais wa Marekani, aliuawa.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz