Majengo

Majengo ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya Afrika ya Mashariki.

Kihistoria ilikuwa jina la makazi ya wafanyakazi Waafrika katika miji ya kikoloni. Ni kwamba Waingereza katika miji iliyoundwa nao katika Afrika ya Mashariki walifuata mpangilio uliokuwa na sehemu tatu[1]:

Katika miji mikubwa zaidi kulikuwa pia na sehemu ya pekee kwa wafanyakazi Wahindi wa matabaka ya chini[5]

Kata zinazoitwa "Majengo" zinapatikana katika wilaya za Tanzania kama ifuatavyo

Pia kuna mitaa kama vile

  • Majengo (Arusha)

Huko Kenya kuna

Marejeo

Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.