Makubaliano ya Kimataifa juu ya Haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni
Makubaliano ya Kimataifa juu ya Haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni kati ya wadau wa haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni kimataifa yaliyokubaliwa na mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Azimio 2200A (XXI) ni la tarehe 16 Disemba 1966 na utekelezaji ulianza 3 Januari 1976 [1] kulingana na kifungu cha 49 cha makubaliano.
Vifungu vyake vimejikita zaidi katika utoaji wa haki za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni kwa himaya au serikali za kuaminika zisizofungamana na upande wowote ikijumuisha: haki za wafanyakazi, Haki za kupata afya, haki ya kupata elimu na haki ya kupata maisha bora.[2]
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz