Mtopetope
Mtopetope (Annona squamosa) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mtopetope | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Mtopetope ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matopetope. Spishi hii huitwa mtomoko pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona cherimola. Mti huu una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge na rangi ya majani hadi manjano yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.
Picha
- Ua
- Topetope
- Topetope lililokatwa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz