Nenda kwa yaliyomo

Njia ya Pwani ya Welisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chepstow, njia inapoishia.
Mwanzo na mwisho wa Njia ya Pwani ya Welisi.

Njia ya Pwani ya Welisi (kwa Kiingereza: Wales Coast Path, kwa Kiwelisi: Llwybr Arfordir Cymru) ni njia ya matembezi marefu kwa miguu inayozunguka pwani yote ya Welisi. Njia inaanzia Queensferry, kaskazini mwa nchi ikiendelea hadi Chepstow (Kiwelisi: Cas-gwent) kusini mwa nchi.

Urefu wake ni kilometa 1,400.[1] Njia ilifunguliwa rasmi tarehe 5 Mei 2012, ila sehemu fulani kama Njia ya Pwani pa Ziwa ya Anglesey na Njia ya Pwani pa Pembrokeshire zilitanguliwa kufunguliwa. Njia inapitia Hifadhi za Taifa mbili, Maeneo Mazuri ya Urembo matatu na Hifadhi za Asili za Kitaifa 11.[2]

Marejeohariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino