Oktavi, Solutori na Aventori

Oktavi, Solutori na Aventori (walifariki Torino, Italia, 304 hivi) ni Wakristo waliofia dini yao kama alivyosimulia askofu Masimo wa Torino[1].

Walivyochorwa.

Inasimuliwa kwamba walikuwa askari wa Kikosi cha Thebe kutoka Misri.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 20 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.