Papa Innocent I
Papa Innocent I alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Desemba 401 hadi kifo chake tarehe 12 Machi 417[1]. Alitokea Albano, Roma, Italia[2].
Jambo la pekee katika historia ya Kanisa[3], alimfuata Papa Anastasio I, aliyemzaa kabla ya kupewa upadrisho, akafuatwa na Papa Zosimus.
Aliimarisha mamlaka ya Kanisa la Roma kwa kuamua kesi nyingi za pande zote mbili za Kanisa[4], Mashariki na Magharibi[5]. Alimtetea Yohane Krisostomo, alimfariji Jeromu na kumkubali Augustino.
Alieneza[6] kanuni ya vitabu rasmi vya Biblia inayolingana na ile itakayopitishwa na Mtaguso wa Trento miaka elfu baadaye[7][8][9].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Kuhusu Papa Innocent I katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
- Find-A-Grave
- Fontes Latinae de papis usque ad annum 530 (Papa Felix IV)
- Liber pontificalis
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Innocent I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz