Papa Linus
Papa Linus alikuwa Papa kuanzia takriban 68 hadi kifo chake takriban 79[1]. Alitokea mkoa wa Toscana, Italia[2].
Alimfuata Papa wa kwanza[3], Mtume Petro[4][5][6][7][8][9], akafuatwa na Papa Anacletus.
Ndiye aliyetajwa na Mtume Paulo katika Waraka wa pili kwa Timotheo, 4:21[10] kwamba alikuwa naye mwishoni mwa maisha yake[11].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.
Sikukuu yake ni tarehe 23 Septemba[12].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Louise Ropes Loomis, The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1-889758-86-8 (Reprint of the 1916 edition. Stops with Pope Pelagius, 579–590. English translation with scholarly footnotes, and illustrations).
- Catholic Encyclopedia, Volume IX. New York 1910, Robert Appleton Company. * Lightfoot, The Apostolic Fathers; St. Clement of Rome, I (London, 1890), uk. 201 n.k.;
- Adolf von Harnack, Geschichte der Altchristlichen Literatur, II: Die Chronologie I (Leipzig, 1897), uk. 70.
- Claudio Rendina, I Papi. Storia e segreti, Newton & Compton, Roma, 1983.
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz