Paula wa Roma
Paula wa Roma (Roma, Italia, 5 Mei 347 - Bethlehemu, Israeli, 26 Januari 404[1]) alikuwa mwanamke Mkristo wa mmojawapo kati ya koo maarufu zaidi za mji huo[2].
Aliolewa mapema akazaa watoto watano[3].
Alipokuwa na umri wa miaka 32 alifiwa mumewe akaendelea kutunza familia yake, lakini alizidi kuvutiwa na mambo ya dini na kuishi kama kitawa sawa na Marsela wa Roma na wanawake wengine kadhaa.
Mwaka 382 alikutana na Jeromu halafu akamfuata Bethlehemu katika monasteri zake (moja kwa wanaume na nyingine kwa wanawake[4][5] akamsaidia kutafsiri Biblia katika lugha ya Kilatini[6].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 26 Januari[7].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint Paula of Rome, in Catholic Encyclopedia.
- The Bible and Women Pilgrims
- Letters of Saint Jerome and Saint Paula
- Saint Paula and the Order of Saint Jerome
- Monastery of Saint Paula (in Seville, Spain)
- Palestine Pilgrims' Text Society (1887): The pilgrimage of the holy Paula by St Jerome
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz