Petro Poveda

Petro Poveda Castroverde (Linares, Jaen, 3 Desemba 1874 - Madrid 28 Julai 1936) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Hispania na mwanzilishi wa Chama cha Kiteresa kwa ajili ya malezi ya Kikristo ya vijana[1].

Picha yake halisi.

Hatimaye aliuawa na waasi wa dini mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, akimtolea Mungu ushahidi mwangavu [2][3].

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 10 Oktoba 1993, halafu mtakatifu tarehe 4 Mei 2003.

Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.