Petro Poveda
Petro Poveda Castroverde (Linares, Jaen, 3 Desemba 1874 - Madrid 28 Julai 1936) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Hispania na mwanzilishi wa Chama cha Kiteresa kwa ajili ya malezi ya Kikristo ya vijana[1].
Hatimaye aliuawa na waasi wa dini mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, akimtolea Mungu ushahidi mwangavu [2][3].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 10 Oktoba 1993, halafu mtakatifu tarehe 4 Mei 2003.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz