1936
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| ►
◄◄ |◄ |1932 |1933 |1934 |1935 |1936| 1937| 1938| 1939| 1940| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1936 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 17 Julai - Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Hispania inaanza mjini Melilla (Afrika ya Kaskazini) kwa uasi wa jeshi
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 10 Januari - Robert Wilson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978
- 22 Januari - Alan Heeger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 27 Januari - Samuel Ting, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1976
- 22 Februari - Michael Bishop, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1989
- 11 Machi - Harald zur Hausen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2008
- 9 Mei - Ernest Shonekan, Rais wa Nigeria (1993)
- 15 Mei - Paul Zindel, mwandishi kutoka Marekani
- 17 Mei - Dennis Hopper, msanii wa Marekani
- 21 Mei - Günter Blobel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1999
- 3 Juni - Larry McMurtry, mwandishi kutoka Marekani
- 8 Juni - Kenneth Wilson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1982
- 24 Juni - Paul L. Smith, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 5 Agosti - John Saxon, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Agosti - Hideki Shirakawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 29 Agosti - John McCain, mwanasiasa kutoka Marekani
- 14 Septemba - Ferid Murad, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1998
- 26 Septemba - Winnie Madikizela-Mandela, mke wa kwanza wa Nelson Mandela
- 10 Oktoba - Gerhard Ertl, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2007
- 4 Novemba - C. K. Williams, mshairi kutoka Marekani
- 19 Novemba - Yuan Lee, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1986
- 5 Desemba - Lewis Nkosi, mwandishi wa habari kutoka Afrika Kusini
bila tarehe
- Antonio Casale, mwigizaji wa filamu kutoka Hispania
Waliofariki
- 18 Januari - Rudyard Kipling, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907
- 8 Februari - Charles Curtis, Kaimu Rais wa Marekani
- 27 Februari - Ivan Pavlov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1904
- 28 Februari - Charles Nicolle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928
- 8 Aprili - Robert Barany, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1914
- 15 Agosti - Grazia Deledda, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1926
- 8 Oktoba - Munshi Premchand, mwandishi kutoka Uhindi
- 10 Desemba - Luigi Pirandello, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1934
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz