Prokopi Mkuu
Prokopi Mkuu (Yerusalemu, Palestina, karne ya 3 - Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli, 8 Julai 303) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa kukatwa kichwa katika mji huo mara alipoanza kutetea kwa ushujaa imani yake mahakamani mwanzoni mwa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Kabla ya hapo aliishi kwa uadilifu na wema[2], pamoja na kuwa mtaalamu wa falsafa na teolojia[3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Julai[5] au 22 Novemba[3][4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- "St. Procopius, Martyr", Butler's Lives of the Saints
- Greatmartyr Procopius of Caesarea, in Palestine Orthodox icon and synaxarion for July 8
- Saints of July 8: Procopius of Scythopolis Archived 29 Desemba 2019 at the Wayback Machine.
- San Procopio di Cesarea di Palestina
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz