22 Novemba
tarehe
Okt - Novemba - Des | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 22 Novemba ni siku ya 326 ya mwaka (ya 327 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 39.
Matukio
Waliozaliwa
- 1868 - John Garner, Kaimu Rais wa Marekani
- 1869 - Andre Gide, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1947
- 1904 - Louis Neel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970
- 1917 - Andrew Huxley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 1980 - Carla Campbell, mwanamitindo kutoka Jamaika
- 1982 - Yakubu Aiyegbeni, mcheza soka wa kimataifa kutoka Nigeria
Waliofariki
- 1875 - Henry Wilson, Kaimu Rais wa Marekani (1873-1875)
- 1963 - John F. Kennedy, Rais wa Marekani aliuawa
- 1981 - Hans Krebs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Sesilia, Filemoni na Afia, Anania wa Arbela, Beninyo wa Milano, Pragmasi wa Autun, Petro Esqueda n.k.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 22 Novemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz