Sesilia
(Elekezwa kutoka Sesilia mfiadini)
Sesilia (kwa Kilatini Caecilia) alikuwa mwanamke Mkristo wa mjini Roma katika karne ya 2 na ya 3 BK.
Anaheshimiwa kama mtakatifu bikira mfiadini na somo wa wanamuziki kwa sababu inasimuliwa kwamba hao walipokuwa wakiimba kwenye arusi yake, mwenyewe "alikuwa akimuimbia Bwana moyoni".[1][2][3]
Sikukuu yake inaadhimishwa na madhehebu mbalimbali tarehe 22 Novemba.[4][5][6]
Picha
- Mt. Cecilia na Mt. Valeriani
- Mt. Sesilia kadiri ya Raymond Monvoisin
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- The Life, Miracles and Martyrdom of St. Cecilia of Rome, Virgin and Martyr of the Christian Church Archived 15 Agosti 2016 at the Wayback Machine.
- Here Followeth of St. Cecilia, Virgin and Martyr in Caxton's translation of the Golden Legend
- Catholic Online - Saints & Angels: St. Cecilia
- Order of Saint Cecilia Archived 9 Oktoba 2011 at the Wayback Machine.
- St. Cecilia at the Christian Iconography website
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz