Teresa Eustoki Verzeri
Teresa Eustoki Verzeri (Bergamo, Lombardia, 31 Julai 1801 – Brescia, 3 Machi 1852) alikuwa mwanamke wa Italia kaskazini ambaye, baada ya kuacha monasteri ya Wabenedikto, alianzisha shirika la Mabinti wa Moyo Mtakatifu wa Yesu kwa ajili ya kulea wasichana. Jina lake la awali lilikuwa Ignazia[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XII tarehe 27 Oktoba 1946, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 10 Juni 2001[2].
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Hagiography Circle Archived 23 Februari 2022 at the Wayback Machine.
- Saints SQPN
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz