Ubaldo wa Gubbio
Ubaldo wa Gubbio (Gubbio, Umbria, Italia, 1084 hivi - Gubbio, 1160) alikuwa askofu wa mji huo baada ya kuishi kama kanoni na kama mmonaki[1].
Alijitahidi kufufua maisha ya kijumuia kati ya mapadri wanajimbo.
Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu hasa baada ya kutangazwa na Papa Selestini III tarehe 4 Machi 1192.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- UBALDO BALDASSINI Citizen, Bishop and Patron of Gubbio on Associazione Eugubini nel Mondo
- St. Ubaldus at the Catholic Encyclopedia
- Ubaldus Baldassini in the Patron Saint Index
- Colonnade Statue in St Peter's Square
- Sant' Ubaldo: Vescovo di Gubbio e Protettore di Thann
- St. Ubaldo Day in Jessup, PA on St. Ubaldo Society website
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz