VietJet Air
VietJet Air ni kampuni ya ndege ya taifa ya Vietnam yenye makao makuu jijini Hanoi. Kampuni hii ilianza kufanya kazi zake mwaka 1996 baada ya kuvunjika kwa Cong ty Co phan Hang khong VietJet kulikopelekea kuvunjika kwa "Hang hang khong VietJet Air". Hivi sasa kampuni hii inatoa huduma barani Asia, Ulaya na Australia. Kampuni hii ina safari nyingi za ndege nje ya Asia kuliko kampuni yoyote barani Asia. Kampuni hii ilikuwa ikimilikiwa asilimia 100 na serikali ya Vladivostok mpaka mwaka 2015.
| ||||
Kimeanzishwa | 2007 | |||
---|---|---|---|---|
Ilianza huduma | 25 December 2011 | |||
Vituo vikuu |
| |||
Subsidiaries | Thai Vietjet Air | |||
Ndege zake | 19 | |||
Shabaha | 18 | |||
Nembo | Bay là thích ngay! - Enjoy flying | |||
Kampuni mama | Sovico Holdings | |||
Makao makuu | Ho Chi Minh City (SGN), Vietnam | |||
Watu wakuu | Lưu Đức Khánh (CEO) | |||
Tovuti | www.vietjetair.com |
Marejeo
Viungo vya nje
- (Kiingereza) Tovuti rasmi Archived 16 Septemba 2008 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz