Wikipedia ya Kifaransa
Wikipedia ya Kifaransa (Kifaransa:Wikipédia francophone, Wikipédia en français) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kifaransa, inaandikwa Wikipédia. Wikipedia ya Kifaransa ilianzishwa mnamo mwezi Machi, 2001. Toleo hili lina makala zaidi ya lakhi 750,000 kwa mwezi wa Januari, 2009, na kuifanya iwe toleo la Wikipedia ya tatu kwa ukubwa baada ya Wikipedia ya Kiingereza na Wikipedia ya Kijerumani. Hata hivyo, ni Wikipedia ya kwanza kwa ukubwa katika orodha ya Lugha za Kirumi.
Aina ya tovuti | Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti |
---|
Tazama pia
- Wikipedia ya Kiingereza Rahisi
- Wikipedia ya Kijerumani
- Wikipedia ya Kiingereza
- Wikipedia ya Kihispania
- Wikipedia ya Kiwolofu
- Wikipedia ya Kiyoruba
- Wikipedia ya Kilingala
- Wikipedia ya Kizulu
Viungo vya nje
- (Kifaransa) French Wikipedia
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kifaransa kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz