Yohane Berchmans
Yohane Berchmans (Diest, leo nchini Uholanzi, 13 Machi 1599 – Roma, Italia, 13 Agosti 1621) alikuwa mtawa katika shirika la Wajesuiti aliyefuata kikamilifu mfano wa Aloysius Gonzaga.
Mpendwa wa wote kwa unyofu wa moyo wake wa ibada, upendo halisi na uchangamfu wa kudumu, baada ya ugonjwa wa muda mfupi, kijana huyo alikabili kifo kwa utulivu [1].
Tarehe 28 Mei 1865 alitangazwa na Papa Pius IX kuwa mwenye heri, halafu tarehe 15 Januari 1888 akatangazwa na Papa Leo XIII kuwa mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Holweck, F. G.: A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co., 1924.
- Hippolyte Delehaye: St John Berchmans, New-York, Benzinger Brothers, 1921, 189pp.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- http://saints.sqpn.com/saint-john-berchmans/ Saint John Berchmans – Saints.SQPN.com
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz