Yosefu Manyanet
Yosefu Manyanet (jina kamili: Josep Manyanet i Vives; Tremp, Lleida, 7 Februari 1833 – San Andreu del Palomar, Barcelona, 17 Desemba 1901) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Hispania. Baada ya kuwa paroko sehemu mbalimbali, alianzisha shirika la Wana wa Familia Takatifu, pamoja na lile ya Mabinti Wamisionari wa Familia Takatifu.[1][2]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 25 Novemba 1984 halafu mtakatifu tarehe 16 Mei 2004.[3]
Tazama pia
Tanbihi
Machapisho yake
- A Priceless Family Gem (1909)
- The Spirit of the Holy Family
- Selected Works (1911)
- Complete Works
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz