Zipu
Zipu ni kifaa kinachotumika kukutanisha upande mmoja na mwingine kwenye nguo, kitambaa, begi, midoli n.k. kama tunavyoona katika picha.
Historia
Zipu ilivumbuliwa na mhandisi Gideon Sundback aliyepata hataza mnamo mwaka 1909[1] na kuboreshwa naye hadi mwaka 1917.
Zipu zilianza kutumiwa kwa kufunga viatu na baada ya miaka kadhaa ziliingia katika soko la nguo.
Mwanzoni zilitengenezwa kwa metali lakini tangu miaka ya 1950 zipu za plastiki zimeenea.
Marejeo
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz