Aleksanda Sauli
Aleksanda Sauli (Milano, Lombardia, 15 Februari 1534 - Calosso, Piemonte, 11 Oktoba 1592) alikuwa askofu wa Pavia na mtawa wa shirika la Makleri wa Mt. Paulo, maarufu kama Wabarnaba, nchini Italia[1].
Aliacha maandishi mbalimbali.
Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri tarehe 23 Aprili 1741, tena mtakatifu na Papa Pius X tarehe 11 Desemba 1904.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Frigerio, D. (1992). Alessandro Sauli: Vescovo e Santo di Ieri e di Oggi (1534–1592). Milano: Edizione "La Voce".
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz