Ana Schaeffer
Ana Schaeffer (Mindelstetten, Bavaria, Ujerumani, 18 Februari 1882 – Mindelstetten, 5 Oktoba 1925), alikuwa mwanamke mwenye karama za pekee katika maisha ya ugonjwa[1] nyumbani akizama katika sala.
Mwaka 1910 alijikuta ana madonda mwilini kama yale ya Yesu msulubiwa[2]. Pia alipata njozi[3].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 7 Machi 1999[4], halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Oktoba 2012[5].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Catholic Online list of saints
- Catholic Saints by patronage topics
- Extensive categorized lists of Catholic Saints
- Sant' Anna Schaffer Italian website
- Saint Anna Schaffer-Mindelstetten-Biography and Relics
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz