Bona wa Pisa
Bona wa Pisa (Pisa, Italia, 1156 - 29 Mei 1207) alikuwa bikira aliyemfuata tangu ujanani Yesu Kristo katika familia ya kiroho ya Waaugustino kwa kuhiji mara kadhaa Roma, Nchi takatifu na hasa Santiago de Compostela pamoja na kuhudumia waliokwenda huko[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saint Bona of Pisa at Patron Saints Index
- Bona of Pisa at Saints - May
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz