Bonifasia Rodriguez
Bonifasia Rodriguez (jina kamili kwa Kihispaniaː Bonifacia Rodríguez y Castro; Salamanca, Hispania, 3 Juni 1837 - Zamora, Hispania, 8 Agosti 1905) alikuwa bikira mwanzilishi mwenza wa shirika la kitawa la Watumishi wa Mt. Yosefu ambalo ndani ya Kanisa Katoliki linahudumia wanawake fukara na wasio na ajira[1] wapate maendeleo ya kiroho na ya kijamii kwa njia ya sala na kazi[2].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 9 Novemba 2003, halafu Papa Benedikto XVI akatangaza mtakatifu tarehe 23 Oktoba 2011[3][4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz