Fransiska wa Sales Aviat
Fransiska wa Sales Aviat (jina la kuzaliwa: Léonie Aviat; Sézanne, Marne, Ufaransa, 16 Septemba 1844 – Perugia, Italia, 10 Januari 1914) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki ambaye pamoja na Louis Brisson alianzisha shirika la Masista Waoblati wa Mt. Fransisko wa Sales. Alilea wasichana kwa upendo wa kimama[1].
Aliongoza shirika kwa awamu mbili, huku katikati likiwa chini ya wakuu wawili waliompinga [2]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 27 Septemba 1992 halafu mtakatifu tarehe 25 Novemba 2001.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- d'Esmonge, OSFS, Sr. Marie-Aimée (1993). Leonie Aviat, Mother Frances de Sales: The Foundress of the Oblates of St. Francis de Sales. Norden: Franz Sales Verlag.
Viungo vya nje
- Hagiography Circle
- Soueurs Oblates de Saint François de Sales
- Oblate Sisters of Saint Francis de Sales (United States)
- The Salesian Center
- "Léonie Françoise De Sales Aviat", Vatican News Service
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz