Jumba la Sanaa la Sydney
Jumba la Sanaa la Sydney (kutoka kiing. The Sydney Opera House) ni jumba linalo patikana katika Bandari ya Sydney, katika Sydney, Australia. Jumba linaumbo kama Matanga (sails), na linapatikana mjini Sydney, Australia. Jumba hilo linatumiwa kwa matasha na sherehe mbalimbali za kimataifa huwa zinafanyiwa hapo. Jumba hilo ni maarufu sana kwakuwa kuvutio kikubwa kwa watalii walio wengi. Jumba lilijengwa mwaka 1817 na ilipofika mwaka 1901 likafungwa. Likaja kufunguliwa tena mnamo tar. 10 ya mwezi Agosti ya mwaka wa 1902. Mnamo mwaka wa 1958 jengo likafungwa tena kwa ajili ya kufanya matengenezo mawili matatu, kisha likaja kufunguliwa tena mnamo mwaka wa 1959.
Marejeo ya nje
- http://www.lib.mq.edu.au/all/journeys/related/fortmacquarie.html Archived 23 Aprili 2013 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz