Mdengu
Mdengu (Lens culinaris) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Midengu inayobeba makaka | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mdengu (Lens culinaris) ni jina la mmea katika familia Fabaceae unaozaa dengu (pia adesi), mbegu zake ambazo zimo mbili mbili ndani ya makaka. Jina la jenasi linatoka kwa umbo wa mbegu unaofanana na lenzi mbinuko.
Picha
- Midengu inayobeba maua
- Maua
- Maua kwa karibu
- Rangi tatu za dengu
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mdengu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz