Molibdeni
Molibdeni (kutoka kigiriki molybdos metali ya risasi) ni elementi na metali ya mpito yenye namba atomia 42 katika mfumo radidia. Uzani atomia ni 95.94. Rangi ya metali tupu ni nyeupe-kifedha.
Molibdeni (Molybdenum) | |
---|---|
Jina la Elementi | Molibdeni (Molybdenum) |
Alama | Mo |
Namba atomia | 107 |
Mfululizo safu | metali ya mpito |
Uzani atomia | 262,1229 u |
Valensi | 2, 8, 18, 13, 1 |
Densiti | 10.28 g/cm³ |
Ugumu (Mohs) | 5.5 |
Kiwango cha kuyeyuka | 2896 K (2623 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 4912 K (4639 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 1 · 10−3 % |
Hali maada | mango |
Mengineyo | Poloni ni nururifu; nusumaisha ya isotopi zake ni kati ya mikrosekondi hadi miaka 103 |
Ni metali imara na ngumu na kiwango cha kuyeyuka ni juu sana. Kwa sababu hiyo hutumiwa katika aloi za feleji inayotakiwa kuwa na nguvu sana.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Molibdeni kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz