Mstafeli
Mstafeli (Annona muricata) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mstafeli | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Mstafeli ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa mastafeli. Mti huu una maua madogo ya rangi ya njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa yai au figo na rangi ya majani na yana miiba myororo. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu na chachu. Mbegu zake ni nyeusi na kubwa kiasi.
Picha
- Ua
- Stafeli
- Stafeli lililokatwa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz