Odilo wa Cluny
Odilo wa Cluny (962 hivi - 1 Januari 1049) alikuwa abati wa tano wa monasteri ya Kibenedikto ya Cluny nchini Ufaransa, ambaye aliifanya kuwa muhimu kuliko zote za Ulaya na kuhamasisha urekebisho wa nyingine nyingi.
Mkali kwake mwenyewe, alikuwa mpole na mwenye huruma kwa wengine; kwa jina la Mungu alipatanisha mataifa yaliyokuwa yanapigana, wakati wa njaa alitegemeza kwa hali na mali wanyonge. Pia alianzisha kumbukumbu ya Marehemu Wote siku iliyofuata sikukuu ya Watakatifu Wote[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz