Papa Telesphorus
(Elekezwa kutoka Papa Telesfori)
Papa Telesphorus alikuwa Papa kuanzia takriban 127/128 hadi kifo chake takriban 137/138[1]. Alikuwa na asili ya Ugiriki[2][3].
Alimfuata Papa Sixtus I akafuatwa na Papa Hyginus.
Alishughulikia liturujia ya Kanisa la Roma[4] bila kulazimisha majimbo mengine hata katika suala la Pasaka ya Kikristo lililoanza kujitokeza[5]. Kinyume chake, alipambana na uzushi wa Gnosi uliozidi kuenea jijini[6].
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Marejeo
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
- Kelly, J.N.D. Oxford Dictionary of Popes. (1986). Oxford, England: Oxford University Press.
- Benedict XVI. The Roman Martyrology. Gardners Books, 2007. ISBN 978-0-548-13374-3.
- Chapman, John. Studies on the Early Papacy. Port Washington, NY: Kennikat Press, 1971. ISBN 978-0-8046-1139-8.
- Fortescue, Adrian, and Scott M. P. Reid. The Early Papacy: To the Synod of Chalcedon in 451. Southampton: Saint Austin Press, 1997. ISBN 978-1-901157-60-4.
- Loomis, Louise Ropes. The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1-889758-86-8
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz