Pune
Pune ni mji wa Uhindi katika jimbo la Maharashtra. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2010, mji una wakazi wapatao milioni 3.3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 560 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 1109.69 km².
Pune | |||
| |||
Mahali pa mji wa Pune katika Uhindi | |||
Majiranukta: 18°28′00″N 73°47′00″E / 18.46667°N 73.78333°E | |||
Nchi | Uhindi | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Maharashtra | ||
Wilaya | Pune | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 3,337,481 | ||
Tovuti: http://pune.nic.in/ |
Viungo vya nje
- (Kiingereza) Tovuti Archived 5 Oktoba 2011 at the Wayback Machine.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Pune kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz