Roko, Alfonso na Yohane
Roko, Alfonso na Yohane (walifariki Caaró, leo nchini Brazil, 15 Novemba na 17 Novemba 1628) walikuwa mapadri wa shirika la Yesu ambao walifia imani ya Kikristo wakifanya umisionari kati ya Waindio.
Alfonso na Yohane walitokea Hispania, kumbe Roko alizaliwa Asuncion, katika Paraguay ya leo.
Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama watakatifu wafiadini. Kwanza walitangazwa na Papa Pius XI kuwa wenye heri tarehe 28 Januari 1934, halafu watakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 16 Mei 1988.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Novemba [1].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Clement J. McNaspy, S.J.: Conquistador without Sword. The Life of Roque González, S.J., Chicago, Loyola University Press, 1984, 206pp.
Viungo vya nje
- Ghezzi, Bert. "St. Roque González, SJ (1576-1628)", Voices of the Saints, ISBN|978-0-8294-2806-3
- 'Os Olhos do Pe. Roque' or 'Father Roque's Eyes' Archived 23 Agosti 2018 at the Wayback Machine. (Kireno)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz