Yosefu Pignatelli
Yosefu Maria Pignatelli, S.J. (kwa Kihispania: José María Pignatelli; Zaragoza, Hispania, 27 Desemba 1737 - Roma, Italia, 15 Novemba 1811) alikuwa padri wa Shirika la Yesu aliyeandaa wanashirika kulianzisha upya baada ya kufutwa na serikali.
Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 21 Mei 1933, halafu Papa Pius XII akamtangaza mtakatifu tarehe 12 Mei 1954.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- "Venerable Giuseppe Maria Pignatelli". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz