1954
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1950 |1951 |1952 |1953 |1954| 1955| 1956| 1957| 1958| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1954 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 7 Julai - Chama cha TANU kinaanzishwa huko Tanganyika.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Januari - Sigfrid Selemani Ng'itu, mwanasiasa wa Tanzania
- 15 Januari - Saning'o Kaika Ole Telele, mwanasiasa wa Tanzania
- 13 Februari - Vijay Seshadri, mshairi kutoka Marekani
- 25 Februari - Renate Dorrestein, mwandishi wa kike kutoka Uholanzi
- 18 Machi - John Damiano Komba, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 8 Mei - John Michael Talbot, mwimbaji Mkristo kutoka Marekani
- 22 Mei - Shuji Nakamura, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2013
- 2 Julai - Omar Shabani Kwaangw', mwanasiasa wa Tanzania
- 7 Julai - kuundwa kwa chama cha Tanganyika African National Union
- 13 Julai - Sezen Aksu, mwanamuziki kutoka Uturuki
- 17 Julai - Angela Merkel, chansela wa Ujerumani (tangu 2005)
- 12 Agosti - Sam J. Jones, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 14 Agosti - Agapiti Ndorobo, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 8 Oktoba - Michael Dudikoff, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 24 Oktoba - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya
- 6 Novemba - Stephen Watson, mwandishi wa Afrika Kusini
- 10 Desemba - Rita Louise Mlaki, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
- 1 Januari - Leonard Bacon, mshairi kutoka Marekani
- 7 Machi - Otto Diels, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950
- 28 Aprili - Leon Jouhaux, kiongozi Mfaransa wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1951
- 13 Julai - Frida Kahlo, mchoraji kutoka Mexiko
- 14 Julai - Jacinto Benavente, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1922
- 16 Agosti - Charles Warren, mwanahistoria kutoka Marekani
- 3 Novemba - Henri Matisse, mchoraji kutoka Ufaransa
- 28 Novemba - Enrico Fermi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1938
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz