Yosefu Sanchez
Yosefu Sanchez (jina kamili kwa Kihispania: José Sanchez Del Rio; Sahuayo, Michoacán, Mexico, 28 Machi 1913 – Sahuayo, 10 Februari 1928) alikuwa mtoto wa Meksiko ambaye aliteswa na kuuawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero kama alivyotamani[1][2].
Papa Benedikto XVI alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Novemba 2005 halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu mfiadini tarehe 16 Oktoba 2016.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Ferreira, Cornelia R. Saint José Luis Sánchez del Rio: Cristero Boy Martyr, 2d. ed., biography (2017 Canisius Books).
- McKenzie, Fr. Kevin William "Blessed José", biography (2014)
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Hagiography Circle
- Saints SQPN
- Biography at Vatican News Service
- Blessed José Sánchez del Rio High School Seminary
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz