2005
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 20 |Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980 |Miaka ya 1990 |Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |2001 |2002 |2003 |2004 |2005| 2006| 2007| 2008| 2009| ►| ►►
Jan.| Feb.| Mac.| Apr.| Mei| Jun.| Jul.| Ago.| Sep.| Okt.| Nov.| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2005 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 30 Desemba - Edward Ngoyayi Lowasa amechaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki
- 20 Januari - Per Borten, mwanasiasa wa Norwei
- 10 Februari - Arthur Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Machi - Hans Bethe (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1967)
- 2 Aprili - Mtakatifu Papa Yohane Paulo II (1978-2005), Papa wa kwanza kutoka Poland
- 5 Aprili - Saul Bellow (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976)
- 9 Juni - Richard Eberhart, mshairi kutoka Marekani
- 20 Juni - Jack Kilby, mhandisi umeme kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2000
- 27 Juni - George Lilanga, msanii Mmakonde kutoka Tanzania
- 28 Juni - Geoffrey William Griffin, mkurugenzi mwanzilishi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe, Kenya
- 6 Julai - Claude Simon (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1985)
- 30 Julai - John Garang, Rais wa kwanza wa Sudan Kusini
- 16 Agosti - Frere Roger (Roger Schutz), mtawa kutoka Uswisi, aliuawa kanisani na mwanamke aliyeharibika kiakili.
- 27 Septemba - Ronald Golias, mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
- 2 Oktoba - August Wilson, mwandishi kutoka Marekani
- 14 Oktoba - Poxi Presha, mwanamuziki kutoka Kenya
- 24 Oktoba - Rosa Parks, mwanaharakati dhidi ya ubaguzi wa rangi
- 28 Oktoba - Richard Smalley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1996)
- 7 Novemba - John Patrick, mwandishi kutoka Marekani
- 16 Novemba - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983
- 26 Desemba - Vincent Schiavelli, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz