1928
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1890 |Miaka ya 1900 |Miaka ya 1910 |Miaka ya 1920| Miaka ya 1930| Miaka ya 1940| Miaka ya 1950| ►
◄◄ |◄ |1924 |1925 |1926 |1927 |1928| 1929| 1930| 1931| 1932| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1928 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 5 Januari - Walter Mondale, Kaimu Rais wa Marekani
- 10 Januari - Philip Levine, mshairi kutoka Marekani
- 16 Januari - William Kennedy, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Machi - Gabriel Garcia Marquez, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1982
- 12 Machi - Edward Albee, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, miaka ya 1967, 1976 na 1992
- 6 Aprili - James Dewey Watson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
- 14 Mei - Che Guevara, mwanamapinduzi kutoka Argentina
- 23 Juni - Michael Shaara, mwandishi kutoka Marekani
- 12 Julai - Elias Corey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1990
- 26 Julai - Stanley Kubrick, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 6 Agosti - Andy Warhol, msanii kutoka Marekani
- 27 Agosti - Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa Kizulu na mwanasiasa kutoka Afrika Kusini
- 27 Agosti - Osamu Shimomura, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008
- 30 Oktoba - Daniel Nathans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
- 9 Novemba - Anne Sexton, mshairi kutoka Marekani
Waliofariki
- 30 Januari - Johannes Fibiger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1926
- 4 Februari - Hendrik Antoon Lorentz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902
- 2 Aprili - Theodore William Richards, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1914
- 30 Agosti - Wilhelm Wien, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1911
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz