Zumaridi
Zumaridi (kutoka neno la Kiajemi; kwa Kiingereza: emerald) ni kito adimu chenye rangi ya kijani kilichokoza na thamani kubwa.
Inatumiwa kwa mapambo ya kila aina.
Kikemia ni umbo la fuwele la madini ya berili. Ugumu wake kwenye skeli ya Mohs ni 7.5–8.
Zumaridi katika Biblia
Zumaridi katika vitabu mbalimbali vya Biblia ina maana ya madini yenye thamani kubwa (k.mf. kitabu cha Ufunuo 4:3).
Kutokana na thamani yake Mungu amempa jina hilo mtumishi wake wa agano la mwisho yaani agano la saba.
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Zumaridi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz