Chuo kikuu cha Princeton
Wito: Dei sub numine viget | |
Kilianzishwa: | 1746 |
Aina ya Chuo: | binafsi |
Mkuu wa Chuo | Shirley Tilghman |
Mji: | Princeton, New Jersey |
Nchi: | Marekani |
Idadi ya wanafunzi | 5,998 |
Idadi ya walimu | --- |
Kampasi | mjini Princeton |
Anwani mtandaoni : | http://www.princeton.edu |
Chuo Kikuu cha Princeton huhesabiwa kati ya vyuo vikuu bora nchini Marekani.
Kiko katika jimbo la New Jersey.
Kilianzishwa mwaka 1746 kwa jina la "College of New Jersey".
Viungo vya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chuo kikuu cha Princeton kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz