Jimbo Kuu la Mombasa
Jimbo Kuu la Mombasa (kwa Kilatini Archidiocesis Mombasaën(sis)) ni mojawapo kati ya majimbo 26 ya Kanisa Katoliki nchini Kenya.
Ni makao makuu ya kanda ya Kanisa ya eneo la mashariki, ambayo inaundwa nalo na majimbo ya Malindi na Garissa.
Mwaka 2004 lilikuwa na waamini 235.700 kati ya wakazi 1.804.652.
Kwa sasa linaongozwa na askofu mkuu Martin Musonde Kivuva.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoAina za manenoKumaShairiKamusi za KiswahiliDiamond PlatnumzMaumivu ya kiunoInsha ya wasifuSimba S.C.Fasihi simuliziIdd el HajjTanzaniaOrodha ya Watakatifu WakristoHifadhi ya mazingiraMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniKisaweNembo ya TanzaniaMapenziJohn Raphael BoccoMapenzi ya jinsia mojaTendo la ndoaVivumishiUandishi wa ripotiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMazingiraMpira wa miguuMshororoVitendawiliOrodha ya makabila ya TanzaniaMadawa ya kulevyaMasoud KipanyaKiswahiliNahauMofimuVita Kuu ya Pili ya Dunia