Maumivu ya kichwa
Maumivu ya kichwa (kwa Kiingereza "headache") ni maumivu ya aina 220[1] tofauti yanayotokea sehemu za kichwa bila hicho kugongwa kwa nje.
Sababu za ndani za maumivu hayo ni kama vile:
- homa
- kusoma au kutazama kompyuta au televisheni kwa muda mrefu
- uchovu au usingizi
- kifafa au matatizo mengine ya neva
Maumivi mengi yanapozwa na dawa, k.mf. aspirini.
Tanbihi
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Maumivu ya kichwa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz