Orodha ya Makamu wa Rais Tanzania
Orodha ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni cheo cha pili kwa ukubwa kisiasa nchini Tanzania.
Tanzania |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Nchi zingine · Atlasi |
Historia ya walioshika ofisi ni hawa wafuatao:
Jina | Ameingia Ofisini | Ameondoka Ofisini |
---|---|---|
Abeid Amani Karume | 1965 | 1972 |
Mwinyi Aboud Jumbe | 1972 | 1984 |
Ali Hassan Mwinyi | 1984 | 1985 |
Joseph Sinde Warioba | 1985 | 1990 |
John Samuel Malecela | 1990 | 1994 |
Cleopa David Msuya | 1994 | 1995 |
Omar Ali Juma | 1995 | 2001 |
Ali Mohamed Shein | 2001 | 2010 |
Mohamed Gharib Bilal | 2010 | 2015 |
Samia Hassan Suluhu | 2015 | 2021 |
Philip Isdor Mpango | 2021 |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz